MPAMBANO WA WEMA VS JACK WOLPER

Kocha wa Wema Sepetu ,Rashidi Matumla akimvua Joho wema kabla ya kupigana blogspot.com picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpinzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpsambano wao.
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droowww.superdboxingcoach.blogspot.com
Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio.

About these ads

3 Responses to “MPAMBANO WA WEMA VS JACK WOLPER”

  1. Pamoja kuwa ilikua ni njia mojawapo ya hamasa lakini walitutia aibu ya karne kwa wote kutotupa hata ngumi moja. Nashawishika kuamini kuwa mikorogo yao imezidi mno hivyo kuparazwa kidogo tu kungeacha kovu lisilotibika> Punguzeni hiyo mikorogo basi siku nyingine mtupe raha tuchangie ipasavyo.

  2. Kiukweli usista duu ulizidi jukwaani bana

  3. Happy Seba Says:

    Kiukweli usista duu uizidi jukwaani bana

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 1,705 other followers