
Mwanasheria Thomas Fortune Fay wa Kampuni ya sheria ya Fay Kaplan iliyoko Washington Dc Marekani.
ZAIDI ya miaka kumi na tatu baada ya milipuko ya mabomu ya kujitoa mhanga iliyotokea kwenye Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salam Agosti 7,1998, mmoja wa ndugu wa marehemu amemtaka Jim Owen kutoa taarifa kuwa ni lini fidia itaanza kulipwa.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam leo, Kulwa Mbogo ambaye pacha wake aliyekuwa akifanya kazi katika ubalozi huo alifariki katika tukio hilo.Kusoma zaidi bofya Read more »








