
Hii ndio taswira ya kusikitisha ya meli ya Mv Spice Islander iliyozama usiku wa kuamkia Jumamosi huko kisiwani Nungwi Unguja.(Picha na Ahmed Mohamed).
This entry was posted on September 10, 2011 at 10:22 am and is filed under Uncategorized . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed.
You can leave a response, or trackback from your own site.
September 10, 2011 at 11:02 am
Poleni sana watanzania wenzangu inasikitisha watu 200 kupoteza maisha.
September 10, 2011 at 2:50 pm
Wazanzibar sote tushkurie msiba wa kitaifa yote ni khatma lkn tusiache kusema. INNALILLAAHIWAINNA ILAIHI RAAJIUUN.ALLAH AWAJAALIE KILA LA KHEIR
September 14, 2011 at 6:05 pm
Mungu Awasamehe makosa yao na awape safari ya heri. Ndugu zangu tuwache kumtupia Mungu kwakila kosa tunalofanya. Mola ametupa akili, lakini tunazitumia kwa kuuwa nduguzetu. Viongozi wanaohusika wanaruhusu vyombo vibovu kwa manufaa yao sio kwa wananchi. halafu wanasimama wasema Mungu ameandika, hawana hata aibu.
September 10, 2011 at 3:01 pm
bismillahi rahmani rahim kwa la m/mungu mwenye kuneemisha neema kubwa kubwa na ndogo ndogo m/mungu awajalie watu hawa walio uwawa awalaze mahali pema peponi ameen
by:suleiman ahmed suleiman
September 12, 2011 at 4:49 am
Anna z.
MUNGU AZIWEKE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI INNALILLAHI WAINA ILLAI RAJIUNI
September 14, 2011 at 5:38 pm
Msimsingizi Mungu. Amekupeni akili muzitumie, Meli impewa idadi ya kuchukua abiria na mizigo. Mungu hakuwaambia mzidishe idadi. Wahusika inafaa waajibike. hii Meli ya tatu makosa kilasiku ndio hayo hayo.
September 28, 2011 at 11:42 am
yaani inabidi waziri wa usafiri aachishwe kazi na afungwe kwa mauaji
January 20, 2012 at 8:29 am
lakini hii meli siyo yenyewe bali hii ni meli iliyozama huko ifilipino walitudanganya tu hizo picha kujua ukweli cheki kwenye UNITED FILIPINO SEAFARERS. lkn mungu awalaze pema peponi
July 20, 2012 at 8:01 am
allah akbar