Happy Birthday Congo miaka 51

Na Austere Malivika.

Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo imesheherekea sikukuu ya uhuru ikiwa hivi sasa ni miaka 51 tangu nchi hiyo ijikwamue kutoka ukoloni.

Japokuwa wananchi wametoka katika ukoloni huo lakini hali ya wananchi wakawaida haijaboreka bado.

Sherehe za Alhamisi zilifanyika mjini Lubumbashi jimboni Katanga zikihudhuriwa na Rais Joseph Kabila.

Na huko mashariki mwa nchi hiyo hasa mjini Goma kulikuwa na gwaride kubwa la kijeshi kuadhimisha sherehe hizo.

About these ads

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 1,705 other followers