Archive for June 30, 2011

Happy Birthday Congo miaka 51

Posted in Uncategorized on June 30, 2011 by sunday Shomari

Na Austere Malivika.

Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo imesheherekea sikukuu ya uhuru ikiwa hivi sasa ni miaka 51 tangu nchi hiyo ijikwamue kutoka ukoloni.

Japokuwa wananchi wametoka katika ukoloni huo lakini hali ya wananchi wakawaida haijaboreka bado.

Sherehe za Alhamisi zilifanyika mjini Lubumbashi jimboni Katanga zikihudhuriwa na Rais Joseph Kabila.

Na huko mashariki mwa nchi hiyo hasa mjini Goma kulikuwa na gwaride kubwa la kijeshi kuadhimisha sherehe hizo.

Maandamano ya kuunga mkono Watanzania Uk.

Posted in Uncategorized on June 30, 2011 by sunday Shomari


Waandamaji Majuu wakipinga uhuni waliofanyiwa Watanzania kutoka kwa BAE Systems- picha kwa hisani ya Haki Ngowi Blogspot.com

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 1,707 other followers